Ni vitu ambavyo mara nyingi hatuvioni kwenye TV zetu na ndio maana AyoTV imekuletea mwenyewe ujionee mashindano ya magari yaliyofanyika Bagamoyo Pwani May 20 2017 ambapo fainali ni May 21 2017 na AyoTV itakuonyesha kwa upana zaidi.
@Binmasterdaniel7 years agoMillard hakuna kitu ninachokipenda maishani mwangu kama Rally yaani umenikonga moyo kabisaa thanks so much bro keep it up kutuonesha mambo kama haya kwa sisi ambao hatupati au tuna sahau muda ambao mashindani haya yanafanyika lakini tunapenda kuangalia. ...
@
@jimmiedebody85677 years agoMashindano ya magari nika michezo mingine ningependekeza yapelekwe maombi kwa serekari wapate kutafuta sehemu kubwa wapate kujenga uwanja mzuri kabisa wamashindano ya magari ambayo yawe yana fanyika kwa mwaka hata mala mbili ...
@
@lilianwilliam51537 years agoaisee mtu wetu wa nguvu mimi kila nikiangalia naogopa lakini nawashangaa hao washangiliaji hta wasiwasi hawana kabisa halafu wako karibu nanjia ya gari 2
@
@irenebernard13317 years agokatka vitu ambavyo xpendi ni kukaa barabarani wakati wa car race wallah hayana utabiri hayo mara lageuka chepe lakuzoa kuleeee akhaaaaa michezoiyo aaah kiti hapendi!😅😅 6
@
@sullepeter47227 years agomillard ayo asante kwakutupenyezea na hii tumeupata uhondo wa bagamoyo big up sana kwa kaz nzur unayoifanya
@
@kyaa0067 years agoNadhani baada ya soka huu ni mchezo mwingine wenye mashabiki wengi Tz sema haujapewa nafasi inayo sahili.......katika kupanua wigo wa ajira nchini ni bora serikali,makampuni na wadau wakawekeza humu 1
@
@mariammarco15547 years agoDuuh! mnamoyo aiseee, Mimi siwezi kabisa. ..
@
@dadiamoshi10857 years agoduh ni nomaaaa sanaaa ila ni hatariiii naogopa sanaa
@
@athumanimashango32047 years agokazi kweli napenda sana mbio za magari na kesho tena
@
@shaibungoda96477 years agotunapenda kushuhudia hizo game zenu ila hamtupi ratiba mnapeana kimya mnatunyima raha bhanaa 2
@
@Niajekiaje7 years agoleo sasa ndo nimepata sababu ya kusubscribe Ayo tv,big up guys,na leo plz mjitahidi mtuletee sections nyingi zaid 1
@
@ARFIddy7 years agoMmmhhh watu wacheza NA roho wakajuwa zapatikana dukani 😡😎🙌 1
@
@sautiyahamasaonlinetv61397 years agoDuuuuh hatari sana mazingira ya michezo sio salama kabisa
@
@judydebawsepaul9057 years agonapenda sn mashindano hy lkn kuna mda naona km wanapinduka 2
@
@jackobjohn42167 years agoiko vizuri ila ingependeza kuichukulia kwa camera ya kupaa ili tuzione nyingi kwa pamoja
@
@kyaa0067 years agowapi baba D na tosk Hans wa warusha walikuwa juu sana miaka ya 90 arusha......wakiina Lukumay........wako wapi
@
@judydebawsepaul9057 years agona kwel changamoto kubwa sn n ubovu wa barabara na hz mvua znazonyesha nd majanga kbs.... ila tunawatakia mashindano mema 1
@
@barakakasaganya44907 years agoKumbe hata na sisi watanzania tunaweza, ila tatizo linakuja kwenye sekta ya miundo mbinu especially barabara na magari yenyewe Kwa maana wanayotumia hayo yameisha engine zake, ynàvyo unguruma sasa! Nishida
@
@rhodaadepc24427 years agojamaniiiii!! RAIA ameshika usukani??? am rimoti duuuui
@
@marcocosmas42666 years agoNapenda sana kuendesha sana gari hasa gari madogo lkn siyo mashindano kama haya labda kutizama tu ndio napenda sababu huu mchezo cyo wa kitoto watu wanakimbiza gari hawana roho 😆😆😆👏👏👏
@
@zedekiannyagawa35217 years agowabongo ujinga utaisha lini.? hao wanasogea barabarani hawajui wanahatarisha maisha yao.
@
@samueljoseph65427 years agoUsalama kwanza hao wanaoenda barabarani kabisa wangekatazwa na wahusika 1
@
@shabansaid38157 years agommmmmm!!! hii nouma sana ila raha bhana
@
@qadirisonyo28307 years agochama cha mbio za magari mbona ratiba zenu hazipo wazi? mnatukosesha uhondo,toeni ratiba mapema 7
@
@kibikisalome3797 years agochezea.pesa usichezee uhai, hauna soko,.kwamba utaupata sokoni
@
@mercymammymammy61227 years agoyani iyo ni roundabout ?ai iyo Kali nawatch niko Jordan.
@
@hassanihussein44797 years agohhhhhh mbon nyiee mumejificha porini au mwaogp kuvamiwa nini wapi MUHAMMAD MKWAWA.TIOT.PANORI.OMAR BAKHRESA BAKHOZA hawo ndiowo wakongwe Wa mbio za magari 1
@
@Binmasterdaniel7 years agoMillard hakuna kitu ninachokipenda maishani mwangu kama Rally yaani umenikonga moyo kabisaa thanks so much bro keep it up kutuonesha mambo kama haya kwa sisi ambao hatupati au tuna sahau muda ambao mashindani haya yanafanyika lakini tunapenda kuangalia. ...
@
@jimmiedebody85677 years agoMashindano ya magari nika michezo mingine ningependekeza yapelekwe maombi kwa serekari wapate kutafuta sehemu kubwa wapate kujenga uwanja mzuri kabisa wamashindano ya magari ambayo yawe yana fanyika kwa mwaka hata mala mbili ...
@
@lilianwilliam51537 years agoaisee mtu wetu wa nguvu mimi kila nikiangalia naogopa lakini nawashangaa hao washangiliaji hta wasiwasi hawana kabisa halafu wako karibu nanjia ya gari 2
@
@irenebernard13317 years agokatka vitu ambavyo xpendi ni kukaa barabarani wakati wa car race wallah hayana utabiri hayo mara lageuka chepe lakuzoa kuleeee akhaaaaa michezoiyo aaah kiti hapendi!😅😅 6
@
@sullepeter47227 years agomillard ayo asante kwakutupenyezea na hii tumeupata uhondo wa bagamoyo big up sana kwa kaz nzur unayoifanya
@
@kyaa0067 years agoNadhani baada ya soka huu ni mchezo mwingine wenye mashabiki wengi Tz sema haujapewa nafasi inayo sahili.......katika kupanua wigo wa ajira nchini ni bora serikali,makampuni na wadau wakawekeza humu 1
@
@mariammarco15547 years agoDuuh! mnamoyo aiseee, Mimi siwezi kabisa. ..
@
@dadiamoshi10857 years agoduh ni nomaaaa sanaaa ila ni hatariiii naogopa sanaa
@
@athumanimashango32047 years agokazi kweli napenda sana mbio za magari na kesho tena
@
@shaibungoda96477 years agotunapenda kushuhudia hizo game zenu ila hamtupi ratiba mnapeana kimya mnatunyima raha bhanaa 2
@
@Niajekiaje7 years agoleo sasa ndo nimepata sababu ya kusubscribe Ayo tv,big up guys,na leo plz mjitahidi mtuletee sections nyingi zaid 1
@
@ARFIddy7 years agoMmmhhh watu wacheza NA roho wakajuwa zapatikana dukani 😡😎🙌 1
@
@sautiyahamasaonlinetv61397 years agoDuuuuh hatari sana mazingira ya michezo sio salama kabisa
@
@judydebawsepaul9057 years agonapenda sn mashindano hy lkn kuna mda naona km wanapinduka 2
@
@jackobjohn42167 years agoiko vizuri ila ingependeza kuichukulia kwa camera ya kupaa ili tuzione nyingi kwa pamoja
@
@kyaa0067 years agowapi baba D na tosk Hans wa warusha walikuwa juu sana miaka ya 90 arusha......wakiina Lukumay........wako wapi
@
@judydebawsepaul9057 years agona kwel changamoto kubwa sn n ubovu wa barabara na hz mvua znazonyesha nd majanga kbs.... ila tunawatakia mashindano mema 1
@
@barakakasaganya44907 years agoKumbe hata na sisi watanzania tunaweza, ila tatizo linakuja kwenye sekta ya miundo mbinu especially barabara na magari yenyewe Kwa maana wanayotumia hayo yameisha engine zake, ynàvyo unguruma sasa! Nishida
@
@rhodaadepc24427 years agojamaniiiii!! RAIA ameshika usukani??? am rimoti duuuui
@
@marcocosmas42666 years agoNapenda sana kuendesha sana gari hasa gari madogo lkn siyo mashindano kama haya labda kutizama tu ndio napenda sababu huu mchezo cyo wa kitoto watu wanakimbiza gari hawana roho 😆😆😆👏👏👏
@
@zedekiannyagawa35217 years agowabongo ujinga utaisha lini.? hao wanasogea barabarani hawajui wanahatarisha maisha yao.
@
@samueljoseph65427 years agoUsalama kwanza hao wanaoenda barabarani kabisa wangekatazwa na wahusika 1
@
@shabansaid38157 years agommmmmm!!! hii nouma sana ila raha bhana
@
@qadirisonyo28307 years agochama cha mbio za magari mbona ratiba zenu hazipo wazi? mnatukosesha uhondo,toeni ratiba mapema 7
@
@kibikisalome3797 years agochezea.pesa usichezee uhai, hauna soko,.kwamba utaupata sokoni
@
@mercymammymammy61227 years agoyani iyo ni roundabout ?ai iyo Kali nawatch niko Jordan.
@
@hassanihussein44797 years agohhhhhh mbon nyiee mumejificha porini au mwaogp kuvamiwa nini wapi MUHAMMAD MKWAWA.TIOT.PANORI.OMAR BAKHRESA BAKHOZA hawo ndiowo wakongwe Wa mbio za magari 1
Related videos for NOMA Mashindano ya Magari Bagamoyo 2017:
tumeupata uhondo wa bagamoyo
big up sana kwa kaz nzur unayoifanya
tumeupata uhondo wa bagamoyo
big up sana kwa kaz nzur unayoifanya