@AffectionateFlowers-wy8hclast monthJamani mchumgaji Mungu akupe maisha marefuu baba nakupenda sana kwa mafundisho yako baba. Familia yako inapaswa ijivunie kuhusu wewe sana .Mungu akupe maisha marefu baba 2
@
@georgegervas42623 years agoMchungaji uchongewe sanamu makumbusho na upewe ulinzi 😂😂😂😂🤣🤣 am blessed much 21
@
@zulfasaeed74453 years agoWallah wewe baba nakuelewa sana yan mm muislam lakin napenda sana kukufatilia mafunzo yako mungu azidi kukupa afya njema 🙏 60
@
@smartmwakipesile3842last month😂😂😂😂😂😂 wakina mama ni marufuku kuiguakagua zawadi ya mwanaume zaidi ya yote pokea na kushukuru 2
@
@ananiabyarugaba15812 years agoMchungaji Mugogo unahubiri Injili ya kweli inagusa maisha ya jamii. Bravo. 6
@
@rosepeter89963 years ago😂😂😂😂😂😂mimi mchungaji hua unanifanya nicheke mpaka kuisha😂😂kisha naishia kukupa like.coz umeguza ndipo......barikiwa sana.🙏 2
@
@selestinmdugu84832 years agoMungu akubariki kwa ushilikisho mtumishi hakika maneno yako yanapenya nyoyo 5
@
@bisimwaerictv2 years agoUrumubyeyimwiza cyane turagukunda cyane 2
@
@user-ri6bp7pg1done week agoMaisha mrefu mchungaji I wish ututembelee kenya❤❤❤❤
@
@engineertyson9183 years agoMchungaji Daniel mgogo Hoya mafunzo mazuri Sana,waliopinga ndo walalamikaji tena Sana. 5
@
@petronilaanyango60693 years agoKila wakati huwa najikuta narudia rudia injili hii be blessed Man of God 8
@
@jaliaotien.o69953 years agoMungu akupe nguvu daima mchunguji danieli mgogo 4
@
@balakamwalongo47333 years agoMungu akubaliki mgogo unatupa dozi ya kweli sana 4
@
@rafaellnacioadamo63893 years agoNapenda sana mahubiri ya mchungaji Mgogo. Niko mozambique. Wenzetu mmebarikiwa kuwa na mchungaji kama Mgogo. 18
@
@lucasjoel42123 years agoNimejifunza jambo kubwa sana mchungaji nimepata jambo la kuweka kwenye ufahamu asante kwa ujumbe mzuli 6
@
@stephanomaliatabu40943 years agoBWANA Asifiwe nimebarikiwa Sana Mtumishi nilikosa Mahubiri kwa Mda Mlefu tangu Mwakajana.Mwenge balikiwa. 2
@
@khalfankipande54163 years agoNakukubali xana ingawa mm muislam napenda tropiki zako 3
@
@winifridakibona11833 years agoNabaliliwa mnono Mungu akupe maisha malefu 3
@
@irenemhoya71203 years agoNakupend San mtumish wang mng akupe maisha malef tunao mpend mtumish jaman tujuane 3
@
@zakyahya46453 years agoBaba mchungaji ubarikiwe sana wanawake tupo makin 4
@collinskisasati-lz5lplast yearGod bless you daddy nahisi siku moja niwe live katika ibaada yako wewe unanibariki sana 1
@
@venancikamonyore49243 years agoNimejifunza kitu kwako much. Nimegundua sisi wanaume ndiyo dhaifu lakini wanawake they're very strong. Ndiyo maana Adamu alimkubalia Hawa na hakukumbuka tena habari za Bwana God. Ila wanahuruma ndiyo maana tunaishi nao. 4
@
@IrakozeEv3 years ago😂😂😂😂😂😂😂ni hatali Kabisa yani wewe mutumishi wamungu umeja roho mtakatifu amen 🙏 mungu akubaliki! from American 🇺🇸 4
@
@shunaside89563 years agoJamani hiz tabia mm nnaz mpk najishangaaa duuh ...naomb mungu aniondoshee ...amin 7
@
@macfatheboy89482 years agoMungu akubariki Sana mtumishi kwa kazi kubwa Mungu aliyokupa 3
@
@wasilajonas83953 years agoMchungaji uko vizuri sana mungu akusadie 3
@
@vincentauxerbius75543 years agoMzee wewe ni genius unatisha mafunzo yako yajenga 2
@
@user-ix5uo6ks7jlast monthExactly mungu azidi kukuongoza pastor sababu anaongea ukweli
@
@prosperboaz2073 years agomi nilikumbana naye,mwisho wa siku niliamua kukimbia 4
@
@leonardemmanuel92493 years agoUkiondoa umchungaji ,huyu jamaa ni comedian 😀😀😀😀😀 1
@
@rachelthomas18662 years agoNi kweli kabisa mchungaji!!shetani amekimbilia sana kwenye ndoa!!ndoa nyingi tunavilio 1
@
@klpusame73883 years agoAmeen hakika Baba ni heri kigunduliwe kifaa cha moyo meter au kengele kwa mwanandoa ambaye ni musaliti. tena mimi nakutia moyo endelea kukazia haya mafundisho maana ndiyo yanalenga familia nakwambia Taji yako ipo mara mia duniani na bado Mbinguni heeee Mungu atusaidie wanandoa. ...14
@
@gracemima52343 years agoNi vizuri mala ya kwanza kusikia muhubiri kuwa Sofi wanawake. Asante muchungaji. 5
@
@user-vo3qb6uh3ylast yearMchungaji mungu akuweke milele mda mwingi natumia kipindi chako huwa unanigusa sana mi ni mwislam
@
@nivesmapunda6943 years agoMchungaji uko vizuri. Mungu akubariki sana! 7
@
@jackilinemwanja65963 years agoHahahhahahaa aminaaaa mchungaji wanguuu,daniel mgogo,unajua kunifurahishaa sana katk mahubiriii yako 7
@
@petersugilo16453 years agoUbarikiwe mtumishi wa Mungu kwa mafundisho yako yenye baraka nyingi. 8
@
@remmymsakusy18753 years agoMafundisho ya mazingira ya jamii ni ya yesu mwenyewe kwani HAYACHOSHI - Bigup mch Mgogo. 10
@
@user-fx1kj1jv2o6 months agoMungu akubariki pastor Daniel Mgogo. Mungu akuongeze hekima na maisha marefu
@
@hamenimanahaliye88152 years agoMafundisho yenye maana sana ndoa na familia safi sana mchungaji Daniel mgogo 1
@
@rosemarysulle92883 years agoNampenda sana huyu mtumishi wa Mungu,ubarikiwe mno pastor. 7
@
@mildredwekesa33573 years agoMlalamikaji, Mungu n saidie hiyo doz angu kweli.asante mchungaji kwa huo ujumbe 10
@
@jadianasniper37492 years agoNakupenda sana mutumishi wa mungu mafundisho yako mazuli tupone kwahilo Mungu akupe maisha mazuli. Na malefu zaidiii 2
@
@zenoLasway6 days agoMtumishi waume zetu wamemalizwa na pombe viroba hahahaha😂😂😂apenzi hawawezi tenaaaa😅
@
@LadyLorry3 years agoMachine detector is too much 😃😃 watching from 🇺🇸 My God bless you. 4
@
@EphraimEphraim-bj2yjlast yearMungu azidi kukulinda muchungaji uzidi kutufundisha ubalikiwe Sana maisha malefu kwako
@
@johngaramtoni9243 years agoDaaah pastor nakukubali sana mungu akubariki sana mafundisho yako yananibariki san 2
@
@tabiasaidi2931last monthSomo zuri mno mchungaji nimelipenda sana linalibaliki sana leo mm
@
@alisenipeter43073 years agoAfadhali kidogo mgogo amerisi nafasi ya miti mingi 1
@
@mildredluutsah18003 years agoYangu nianze kukusikiza,maisha yangu yamebadilika,ubarikiwe mchungaji 2
@
@olgacaleb68223 years ago😂😂😂😂😂mtumishi umetugusa baba mungu akutie nguvu 4
@
@lemomomiseyeki70473 years agoKwa kweli mtumishi hapo umemaliza kila kitu kama ni mtihani umetunga na majibu umetoa ubarikiwe 1
@
@cecilianyamai87712 years agoMungu ambariki neno lake naendelea kusoma SoMo nzuri ya kunijenga katika maisha
@
@saidbarawa90963 months agoIam amuslim,but I don't tire listening to pastor mgogo summons
@
@jescazablon71623 years agoJmn hyu mlalamikaj ni mim huuu inabid nijaribu kubadilika kwel mme wangu ana kaz leo nimegundua anavumilia meng 2
@
@mukeragabilodiana93913 years agoWewe mchungaji unahakili zilizotoka mbinguni. Kweli 9
@
@MbarukuTwaha-mb8nllast yearWe pastor ujengewe sanamu yaaani hata ninastress naangalia mkutano wako nafarijoka
@
@violetkarambu20706 months agoNakupenda sana paster mungu akubaliki, nakufuatilia sana nikiwa meru
@
@winumirenadia80543 years agoMtumishi barikiwa Sana nakufata Sana🇧🇮,asante barikiwa sana 2
@
@judicaelkikuzwe11883 years agoKweli kwa sababu Ndiyo walio kutana na shetani sisi atukuwayi kumufahamu shetani wala kakutana naye lakini usmati wao ulitokana naurafikiwao na ibilisi 5
@mkudesimba94463 years agounatubariki na tunajifunza mambo mengi sanaa 6
@
@mamapeace30923 years agoYani wamama waliumbwa na maneno mengi kuliko wanaume..we are the shield 6
@
@ndugaijacob359last yearAsante sana mchungaji Mgogo upo sahihi na.vizuri. Mungu akubariki
@
@teresiahkiarie26263 years agoMafunzo ya huyu pastor is in another level I like his teaching iam from Kenya you have been a blessing to me 23
@
@glodynkondo98002 years agomungu akubariki sana kwa message zuri mimi wivu kwangu niatari sana iyo ni point 1
@
@user-kk9zw5lc1glast monthSafi mchungaji😂😂😂😂hapo kwa kipimo cha watu wa kuchipuka❤❤😂😂❤❤❤❤
@
@rosewiwowanjala94982 years agoBarikiwa saana pastor uchumbe huu umenifunza saaana
@
@bostonnyatu32693 years agoMch.Daniel nimekuelewa nimepitiliza Mungu akutunze 1
@
@jumanneally68568 months agoJamani mtumishi Mungu akuweke miaka mingi
@
@vincentlihendeko19063 months agohuyu sio mhubiri, hajawahi kutumia neno la Mungu hata siku moja. anasema maisha aliyozoea. michepuko na ukristo wapi na wapi
@
@tundaisabelle32183 years agoTunakupenda saaaaaaaana baba muchungaji uku Canada 🇨🇦 6
@
@anthonymwambwalulu82343 years agoSemina zako mtumishi nafarijika Sana ubarikiwe 5
@
@luciamaganga18729 months agoUbarkiwe sana mtumishi wa Mungu kwa mafundisho mazurii,Mungu akujalie maisha marefu, Amina
@
@cecymwasija806111 months agoNakupenda ❤️ xan past Yan maubili yak mazuli xan 🔥🔥🔥🔥
@
@jumakasomelo39012 years agoUbarikiwe Sana mchungaji. Kuanzia leo natoka kundi la wivu wa kijinga. 2
@
@OmanOman-gp7xm3 years agowapo mchungaji hongera kwakuongea nina dadaangu anakilema icho jmn ila siwezi mchoka nampenda sana ila dugu wote wamemchoka nimecheka sana 6
@
@ChebetSelly-bh1stlast monthI love his preaching it's toooooo educative I don't know when u will visit uganda
@
@paulinekamau76183 years agoMchungaji anatambua uepo wa wanawake Duniani. Wanawake hoieee......genius n channnels kwa SANA!!!Barikiwa!!! 10
@
@frankyohana2083 years agoKweli bana kuna majitu mengine yana lalamika mnoo mpaka yanakera 3
@
@jacksonmkude93013 years agoMtumishi huduma yako nzuri sana mungu akubaliki sana 1
@
@subirasanga52762 years agoHahahahaaaa nmecheka ile mbay. Hee ubarikiwe Mtumish. Tupone
@
@jescajulius80233 years agoWalalamikaji wenzangu hoyeeeee!!!,hahaha. 3
@
@athanaskipeto572last yearMchungaji uko sawa kabisa kwenye meseji hapo
Related videos for ZIJUE TABIA MBILI HATARI KATIKA NDOA——-MCH.DANIEL MGOGO:
Mungu akubariki sana! 7
Kuanzia leo natoka kundi la wivu wa kijinga. 2