JINSI YA KULINDA FURAHA YAKO ISIPOTEE
Furaha inaweza kuwa chanzo cha wewe kufanikiwa. Kwani hata kichwa huweza kufanya maamuzi mengi mazuri katika utulivu ambao furaha yaweza kuuchangia kwa kiasi kikubwa. Unaweza ukawa na furaha, lakini ikawa vigumu sana kudumu na furaha hiyo.
.
Vilevile ni rahisi sana kuipoteza furaha kama ilivyo rahi kuanguka toka mtini lakini ni vigumu sana kuipata furaha furaha kama ilivyo kupanda tena juu ya mti kwa speed uliyoangiuka nayo.
.
Katika somo hili Ezden Jumanne atakufungulia uelewa juu ya namna gani unaweza linda furaha yako isipotee.
.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: https://www.instagram.com/ezdenjumanne/
TWITTER: https://www.twitter.com/ezdenjumanne
FACEBOOK: https://www.facebook.com/ezdenjumanne
LINKEDIN: https://www.linkedin.com/in/ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
Or leave a text/ Whatsapp : (+255)759191076
#Linda #Furaha #Isipotee
@pascalmosha41934 years agoPia kingine ezden kujitambua binafsi na kujua madhaifu yako binafsi na yawatu wakaribu sana. 3
@
@frankmassawe87524 years agoGod bless you sana broo kwa mafundisho yako tangu niijue channel hii i' m so happy na nafanikiwa zaidi nnapoyafanyia kazihakika mungu andelee kukufunulia zaidi vitu vipya amen. 2
@
@amarislam15894 years agoMashaalah somo safimengi. Barakallahufik. 1
@
@mariamomar82443 years agoLike a communication skills book, business skills and problem solving skills.
@
@aimeekungwa27013 years agoAsante kakayangu ndajitaidi na mina amini yata ni saidiya sana, aksanti kwa somo nzuri.
@
@hassanovajunior69724 years agoThe second and fourth that' s me thanks once again my brother, definitely you' ve helped me so much stay blessed bro. 1
@
@kahejashukuru47972 years agoFrom kenya mimi ni mkongomani lakini fafundisho yako yamenisaidiya sana.
@
@yekoniafanuel40712 years agoKaka mungu akusimamie miaka kama yote make kla naposkiliza mafundxho haya nahs kama yamefundishwa leo make hayaishi utam blessed san broo.
@
@intentionsr79464 years agoHapo kwa communication skills ni kweli kabsa kk.
@
@charlesmyamba85313 years agoAh broo uko vzur maan toka nianze kukufwatilia nfanya mengi yanatiki.
@
@misahalinga80784 years agoAsante kwa somo zuri, lakini mi naomba unambie ni vitabu vipi vizur kusoma na vimeandikwa kwa lugha ya kiswahili, maana vitabu vingi ni vya lugha ya kigeni. ...Expand1
@
@helenamusa4324 years agoAsante kaka kuanzia sasa nakua na mipaka ili niwe na fulaha siku zote.
@
@mariamomar82443 years agoHi how do you get the motivation books.
@
@saumumbukuzi49224 years agoHaswaa hapo kwenye communication skills ni tatizo.
@
@ramadhaniferuzilast yearAllah azidi kukuweka kaka ntajitahidi kila video zako niweze kuwa nazifata. 1
@
@rajabujuma87254 years ago" jifunze kupuuzia baadhi ya mambo" asante sana kaka ubarikiwe kwa kutuelimisha.
@
@bashirumussa70454 years agoHabari kaka ezden; hongera kwa elimu nzuri unayoitoa. Je nawezaje kupata vitabu mbalimbali kutoka kwako?
@misahalinga80784 years agoAsante kwa somo zuri, lakini mi naomba unambie ni vitabu vipi vizur kusoma na vimeandikwa kwa lugha ya kiswahili, maana vitabu vingi ni vya lugha ya kigeni. ...Expand1
Related videos for JINSI YA KULINDA FURAHA YAKO ISIPOTEE: